NIJUZE NIJUZE Author
Title: DROO YA HATUA YA 16 BORA KOMBE LA CARABAO
Author: NIJUZE
Rating 5 of 5 Des:
Mabingwa watetezi, Manchester United wamepangwa dhidi ya Newcastle United iliyochuana nayo kwenye fainali ya kombe hilo msimu uliopita. Wa...


Mabingwa watetezi, Manchester United wamepangwa dhidi ya Newcastle United iliyochuana nayo kwenye fainali ya kombe hilo msimu uliopita.

Washika Mitutu, Arsenal watachuana na Wagonga nyundo, West Ham United katika dimba la Emirates, Liverpool imepangwa dhidi ya Bournemouth huku Chelsea ikikutanishwa na Blackburn Rovers.

ORODHA KAMILI HII HAPA

  • Ø  Manchester United vs Newcastle United
  • Ø  Arsenal vs West Ham
  • Ø  Liverpool vs Bournemouth
  • Ø  Chelsea vs Blackburn Rovers
  • Ø  Everton vs Burnley
  • Ø  Fulham vs Ipswich Town
  • Ø  Exeter vs Middlesbrough
  • Ø  Mansfield vs Port Vale

About Author

Advertisement

Post a Comment Blogger

Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii

Note: Only a member of this blog may post a comment.

 
Top