DROO YA HATUA YA 16 BORA KOMBE LA CARABAO


Mabingwa watetezi, Manchester United wamepangwa dhidi ya Newcastle United iliyochuana nayo kwenye fainali ya kombe hilo msimu uliopita.

Washika Mitutu, Arsenal watachuana na Wagonga nyundo, West Ham United katika dimba la Emirates, Liverpool imepangwa dhidi ya Bournemouth huku Chelsea ikikutanishwa na Blackburn Rovers.

ORODHA KAMILI HII HAPA

  • Ø  Manchester United vs Newcastle United
  • Ø  Arsenal vs West Ham
  • Ø  Liverpool vs Bournemouth
  • Ø  Chelsea vs Blackburn Rovers
  • Ø  Everton vs Burnley
  • Ø  Fulham vs Ipswich Town
  • Ø  Exeter vs Middlesbrough
  • Ø  Mansfield vs Port Vale

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post