VIDEO: SHAA AZUNGUMZIA UMALKIA WAKE WA USWAZI UMETOKEA WAPI NA KAZI ZAKE MPYA

Shaa
Akiongea na Mwandishi wa Global online Tv hit maker wa ngoma ya "Sugua gaga" na "Subira" katika Red Carpet ya Show ya "Love Melodies and Lights Event" ambayo ilifanyika usiku wa kuamkia February 19, 2017 maeneo ya Leaders Club mwanamuziki wa Bongo fleva nchini Tanzania Shaa amezungumzia ujio wake wa kazi zake mpya kwa mwaka huu 2017.

Shaa amesema huwa hana pressure yoyote ya kutoa nyimbo kila wakati kwakuwa hategemei sana Mziki huo kuendeshea maisha yake, hivyo hufanya kama sanaa tu na Burudani kwa fans wake kwahiyo hilo hupelekea kutoa wimbo pale anapojisikia kufanya hivyo.


Pia ameweka bayana na kujivunua kuwa na Mashabiki ambao huwa wanamsapoti kwa kila jambo hivyo anawapa Big Up. 

Katika ujio wake mpya shaa amesema kwasasa anakuja Kibiashara Zaidi na Record Label japo hakuweza kuweka bayana jina na niwasanii gani watakuwa wako chini ya Label hiyo au Management yake hiyo mpya.

Bofya Play katika Hii Video kwa Kusikiliza mengi aliyoyasema.

++++++++++++++++++++++++++++++++++++++
KUWA KARIBU NASI LINDIYETU.COM
Usipitwe!! Ungana na Familia hii kupitia FacebookTwitter na Instagram ili kupata Infortainment zote!! Usikose kujiunga na Youtube channel yetu ili kupata Exclusive mbalimbali kali kutoka LindiYetu TV

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post