AUDIO: IDADI YA VIFO KWENYE TETEMEKO LA ARDHI BUKOBA YAONGEZEKA

Idadi ya vifo vya watu kwenye tetemeko lilitokea Kagera inazidi kuongezeka ambapo Kamanda wa polisi Kagera Augustine Olomi ametaja kuwa imefikia vifo vya watu nane (8) na majeruhi zaidi ya 100.
 tetemeko
"Taarifa ya vifo vipatavyo vinane hadi sasa hivi na majeruhi kadhaa wanakwenda zaidi ya 100, lakini kutokana na hii taharuki jeshi la polisi tumejipanga kuzuia wale watu wanaotaka kupora mali za watu" Kamanda wa polisi Kagera amesema.

Lindiyetu.com inaendelea kufuatilia taarifa zaidi na tutaendelea kukupatia kadri zinavyotufikia.

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post