NIJUZE NIJUZE Author
Title: RC- MBEYA ATEMBELEA KIWANJA CHA NDEGE MKOANI HUMO
Author: NIJUZE
Rating 5 of 5 Des:
Mkuu wa mkoa Mbeya Abasi Kandoro akiongea na wakandarasi  wa uwanja wa ndege songwe Mbeya alipotembelea kuona maendeleo ya kiwanja hicho M...

image

Mkuu wa mkoa Mbeya Abasi Kandoro akiongea na wakandarasi  wa uwanja wa ndege songwe Mbeya alipotembelea kuona maendeleo ya kiwanja hichoimage

Meneja wa kiwanja cha ndege mkoa wa mbeya  Ezekia Mwalutende akisoma taarifa ya ya ujenzi wa kiwanja cha  ndege songwe Mbeya

Mkuu wa mkoa mbeya Abasi Kandoro akiwasisitiza wakandarasi wa ujenzi wa uwanja wa ndege songwe kukamilisha ujenzi  uwanja huo kwa muda uliopngwa

image

Hii ni barabara ya kutua na kurukia ndege nyenye urefu wa kilometa 3.6 na upana wa mita 45 kiwanja kitakuwa barabara ya kiungo moja na eneo la maegesho lenye uwezo wa kuegesha ndege nne aina ya boing 737 kwa pamoja

About Author

Advertisement

Post a Comment Blogger

Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii

Note: Only a member of this blog may post a comment.

 
Top