
Uchaguzi huo ulifanyika leo Machi 22 kuanzia majira ya saa 4.00 asubuhi katika ukumbi wa Karimjee.
Uchaguzi huo uliahirishwa mara tatu kwa sababu mbalimbali, ikiwamo zuio batili la mahakama lililowekwa na makada wa CCM, katika Mahakama Hakimu Mkazi wa Kisutu.
Tags
HABARI ZA KITAIFA