
Akiaongea na Lindiyetu.com mkazi wa eneo hilo amesema kuwa wananchi hadi sasa hawajui mahali pa kwenda na hawajui lini watapatiwa stahiki zao kwani muda uliopangwa umeshapita na bado haijaeleweka lini watakamilishiwa malipo hayo.
Akiongelea suala hilo Meya wa Manispaa ya Lindi Ndg Mohamedi Lihumbo alisema kuwa hatma ya wananchi hao bado inafanyiwa kazi na wananchi wasiwe na wasiwasi kwani watapewa stahiki zao na kuoneshwa mahali pakwenda ambapo patakuwa pamepimwa.
UNAWEZA KUSIKILIZA SAUTI ZAO HAPA CHINI
Tags
HABARI ZA KITAIFA