DIAMOND PLATNUMZ AMALIZA UTATA WA MSANII GANI KAJIUNGA NA WCB

CEO wa WCB Wasafi, Diamond Platnumz ametangaza rasmi kumtambulisha msanii mpya wa label yake baada ya mafanikio makubwa ya Harmonize.
WCB Wasafi
Diamond alitoa taarifa hiyo kupitia twitter.
post
Pia Diamond alifafanua zaidi kwa kuandika ujumbe mwingine kupitia ukurasa huo huo wa Twitter.
post
Label ya Wasafi ina wasanii wawili, Harmonize pamoja na Raymond.

JE UNAHISI NI MSANII GANI ATAKAYE TAMBULISHWA SIKU HIYO.....?
Previous Post Next Post