Unknown Unknown Author
Title: FURSA KWA WAPENZI WA YANGA MKOANI LINDI, FIKA ILULU JUMAMOSI AUGUST 9, 2014
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Uongozi wa YANGA S.C, tawi la Lindi, kushirikiana na Benki ya Posta Tanz. Inawatangazia mkutano wa wana Yanga wote, siku ya Jumamos 09/0...
naipenda yanga
Uongozi wa YANGA S.C, tawi la Lindi, kushirikiana na Benki ya Posta Tanz. Inawatangazia mkutano wa wana Yanga wote, siku ya Jumamos 09/08/2014, saa 4:00 asubuhi uwanja wa ILULU. KUTAKUWA NA: kugawa kadi za kisasa, kuchagua uongozi wa tawi, viongozi toka JANGWANI watakuwepo, mauzo ya jezi. Ufike na paspotsize 3 na kadi ya kupigia kura au leseni ya udereva. 
TUMA UJUMBE KWA WENGINE. 
MTOA 
Tangazo Namba 0715 925 111

About Author

Advertisement

Post a Comment Blogger

Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii

Note: Only a member of this blog may post a comment.

 
Top