Unknown Unknown Author
Title: BREAKING NEWS:: WATU ZAIDI YA WANNE WAHOFIIWA KUFA KATIKA AJALI YA GARI ENEO LA MTAMA LINDI
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Ajali Imetokea jioni hii eneo la Kijiji cha Mtama Lindi Vijijini katika Pacha ya kuelekea Newala ikilihusisha gari aina ya TDI (DEFENDER...
lindiyetu news
Ajali Imetokea jioni hii eneo la Kijiji cha Mtama Lindi Vijijini katika Pacha ya kuelekea Newala ikilihusisha gari aina ya TDI (DEFENDER) ilikuwa inatokea katika maonyesho ya Nane nane yaliyofikia kilele leo jioni katika viwanja vya Ngongo Mjini Lindi.
Ajali hiyo inasemekana imesababishwa na Mbuzi alie kuwa anakatiza barabara na Dereva alivyojaribu ku mkwepa tu akayumba na kuwagonga wafanyabiashara waliokuwa pembezoni mwa Barabara hiyo na kuishia kutumbikia mtaroni.
Hadi sasa Taarifa iliyo rasmi watu wanne wamefariki dunia kutokana na ajali hiyo.
Endeleo kuwa nasi kwa Habari Zaidi na Picha zaidi.

About Author

Advertisement

Post a Comment Blogger

Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii

Note: Only a member of this blog may post a comment.

 
Top