LEO hii Real Madrid wameruka kwenda Marekani kushiriki International Champions Cup wakiwa na Kikosi dhaifu ambacho kina Wachezaji 9 toka Timu yao B, Castilla.
Mbali ya kuwakosa Álvaro Morata na Casemiro ambao Juzi tu wamehama, Real haina hata Mchezaji wao mmoja aliecheza Kombe la Dunia huko Brazil.
Wachezaji wa kwanza wa Real waliokuwa Brazil ambao watajumuika Kikosini Jumatano huko Los Angeles ni Wachezaji wa Spain, Xabi Alonso, Iker Casillas na Sergio Ramos, pamoja na Luka Modric wa Croatia.
Kisha, Siku mbili baadae, watafuatia Wachezaji wa Portugal, Fábio Coentrão, Cristiano Ronaldo na Pepe, lakini Ronaldo atakuwa kwenye Mazoezi maalum binafsi akiendelea kupona Goti lake.
Kundi jingine la Wachezaji wa Kombe la Dunia wa Real ni lile la Wachezaji wao kutoka France, Raphaël Varane na Karim Benzema, na hawa wamepangiwa kurudi Likizo Agosti 1.
Wachezaji waliosalia ni wale Timu zao zilikutana kwenye Fainali ya Kombe la Dunia huko Brazil, Angel Di Maria aliekuwa na Argentina na Toni Kroos na Sami Khedira waliokuwa na Germany, na hawa watajiunga na Real hapo Agosti 5 toka kwenye Likizo zao.
International Champions Cup
MAKUNDI KUNDI A:
-Manchester United
-AS Roma
-Real Madrid
-Inter Milan
KUNDI B
-AC Milan
-Olympiacos
-Manchester City
-Liverpool
RATIBA**Saa zikitajwa ni za Bongo
Ijumaa Julai 25
03:00 Olympiacos CFP v AC Milan
Jumamosi Julai 26
23:10 Manchester United v AS Roma
Jumapili Julai 27
1:00 Real Madrid CF v Inter Milan
23:00 AC Milan v Manchester City
Jumatatu Julai 28
02:00 Liverpool - England v Olympiacos CFP
Jumatano Julai 30
02:00 Manchester United v Inter Milan
05:15 Real Madrid CF v AS Roma
Alhamisi Julai 31
02:00 Manchester City v Liverpool
Jumamosi Agosti 2
20:00 Inter Milan v AS Roma
22:00 Olympiacos CFP v Manchester City
23:06 Manchester United v Real Madrid CF
Jumapili Agosti 3
01:30 Liverpool v AC Milan
FAINALI
Jumatatu Agosti 4
Mshindi Kundi A v Mshindi Kundi B
Wachezaji wa kwanza wa Real waliokuwa Brazil ambao watajumuika Kikosini Jumatano huko Los Angeles ni Wachezaji wa Spain, Xabi Alonso, Iker Casillas na Sergio Ramos, pamoja na Luka Modric wa Croatia.
Kisha, Siku mbili baadae, watafuatia Wachezaji wa Portugal, Fábio Coentrão, Cristiano Ronaldo na Pepe, lakini Ronaldo atakuwa kwenye Mazoezi maalum binafsi akiendelea kupona Goti lake.
Kundi jingine la Wachezaji wa Kombe la Dunia wa Real ni lile la Wachezaji wao kutoka France, Raphaël Varane na Karim Benzema, na hawa wamepangiwa kurudi Likizo Agosti 1.
Wachezaji waliosalia ni wale Timu zao zilikutana kwenye Fainali ya Kombe la Dunia huko Brazil, Angel Di Maria aliekuwa na Argentina na Toni Kroos na Sami Khedira waliokuwa na Germany, na hawa watajiunga na Real hapo Agosti 5 toka kwenye Likizo zao.
International Champions Cup
MAKUNDI KUNDI A:
-Manchester United
-AS Roma
-Real Madrid
-Inter Milan
KUNDI B
-AC Milan
-Olympiacos
-Manchester City
-Liverpool
RATIBA**Saa zikitajwa ni za Bongo
Ijumaa Julai 25
03:00 Olympiacos CFP v AC Milan
Jumamosi Julai 26
23:10 Manchester United v AS Roma
Jumapili Julai 27
1:00 Real Madrid CF v Inter Milan
23:00 AC Milan v Manchester City
Jumatatu Julai 28
02:00 Liverpool - England v Olympiacos CFP
Jumatano Julai 30
02:00 Manchester United v Inter Milan
05:15 Real Madrid CF v AS Roma
Alhamisi Julai 31
02:00 Manchester City v Liverpool
Jumamosi Agosti 2
20:00 Inter Milan v AS Roma
22:00 Olympiacos CFP v Manchester City
23:06 Manchester United v Real Madrid CF
Jumapili Agosti 3
01:30 Liverpool v AC Milan
FAINALI
Jumatatu Agosti 4
Mshindi Kundi A v Mshindi Kundi B
>>SOKA IN BONGO
Post a Comment Blogger Facebook
Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii
Note: Only a member of this blog may post a comment.