Maafisa wa masuala ya anga nchini Algeria wanasema wamepoteza mawasiliano na ndege ya shirika la ndege la Air Algerie, iliyokuwa katika anga ya Sahara. Shirika la habari za Algeria limesema ndege hiyo ilikuwa ikisafiri kwenda Algiers na kupotea kwenye rada takriban dakika 40 baada ya kupaa kutoka jijini Ouagadougou, mji mkuu wa Burkina Faso. Air Algerie imesema imeanza shughuli za dharura kuitafuta. Inadhaniwa kuwa na abiria 110 na wafanyakazi sita. Njia ya ndege hiyo ni kupitia nchini Mali ambapo kuna mzozo unaendelea upande wa kaskazini.
NEWS:: NDEGE NYINGINE YAPOTEA, "AIR ALGERIE"
Title: NEWS:: NDEGE NYINGINE YAPOTEA, "AIR ALGERIE"
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Maafisa wa masuala ya anga nchini Algeria wanasema wamepoteza mawasiliano na ndege ya shirika la ndege la Air Algerie , iliyokuwa katika...
Post a Comment Blogger Facebook
Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii
Note: Only a member of this blog may post a comment.