DKT. BILAL AJUMUIKA NA WAUMINI WA DINI YA KIISLAM KUUPOKEA MWAKA MPYA 1435 HIJRIYYA JIJINI DAR

clip_image002Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akihutubia katika hafla ya sherehe za kuukaribisha mwakama mpya wa Kiislamu 1435 Hijriyya, zilizofanyikwa kwenye Ukumbi wa Karimjee,jijini Dar es Salaam, leo. Picha Zote na OMR

clip_image002[5]Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt.Mohammed Gharib Bilal, akiwasili kwenye ukumbi wa Karimjee jijini Dar es Salaam, leo Nov 10, 2013 kwa ajili ya kuhudhuria hafla ya kuupokea mwaka mpya wa Kiislamu 1435 Hijriyya.

clip_image002[7]Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalaimiana na baadhi ya Viongozi wa Jumuiya ya Istiqaama Tanzania, wakati alipowasili kwenye Ukumbi wa Karimjee jijini Dar es Salaam, leo Vov 10, 2013 kwa ajili ya kuhudhuria hafla ya kuupokea mwaka mpya wa Kiislamu 1435 Hijriyya. Katikati ni Sheikh Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Sheikh Alhad Mussa Salum.

clip_image002[9]Sehemu ya waumini wa dini ya Kiislamu,waliohudhuria hafla ya kuupokea mwaka mpya wa Kiislamu 1435 Hijriyya, katika ukumbi wa Karimjee jijini Dar es Salaam, leo.

PICHA ZAIDI BOFYA HAPA

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post