He Yide (5) ambaye amepewa jina la utani la Duoduo mkazi wa Nanjing China ameweka rekodi ya kuwa rubani mdogo zaidi duniani na sijui kama atatatokea mwingine wa kuvunja rekodi hiiDuoduo ana miaka mitano na nusu.He Yide akiwa na Mwalimu wake wakati wa kurusha ndege hiyoMtoto huyu aliweza kurusha ndege hiyo akiwa na mwalimu wake kwa muda wa dakika 35 katika park ya beijing wildlifeHi Yide akiwa na Baba mama yake na ndugu
Hebu tazama hapa video hii
Post a Comment Blogger Facebook
Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii
Note: Only a member of this blog may post a comment.