Uongozi wa jengo hilo umeamua kuimarisha ulinzi wa namna hiyo kutokana na tishio la mashambulizi ya magaidi , hasa baada ya Mgambo wa Al Shabaab kushambulia Westgate Kenya na watu kadhaa kuuawa.
Wateja wakikaguliwa kabla kuingia kwenye maduka katika Jengo la Biashara la Quality Centre, Dar es Salaam jana
(PICHA NA RICHARD MWAIKENDA)
Tags
HABARI ZA KITAIFA