BREAKING NEWS : DADA WA FREEMAN MBOWE, GRACE MBOWE AFARIKI DUNIA KATIKA AJALI YA GARI BARABARA KUU YA KABUKU TANGA.

clip_image001Grace Mbowe mwanamama aliyehama chama cha Chadema na kuhamia CCM wilayani Hai amefariki dunia katika ajali mbaya ya dari iliyotokea Kabuku mkoani Tanga mapema asbuhi ya leo Septemba 29/ mwaka huu.

Gerce ni dada wa Mwenyekiti wa CHADEMA, Freema Mbowe. Tutaendelea kuwajulisha juu ya tukio hilo, mwenyezi mungu ampumuzishe kwa amani.

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post