Mh.Mwigulu Nchemba Naibu katibu wa CCM akikata utepe kama ishara ya kuzindua rasmi tawi la CCM - Texas MarekaniMh.Mwigulu Nchemba Naibu katibu wa CCM akiwa na Mzee Rajab Luhwavi Msaidizi wa Rais katika Siasa
Bw.Kitogo na Dada Amina Lesso waakisikiliza kwa makini
Sehemu ya Wana-CCM Texas
Kutoka Kushoto Frank Mutafungwa,Amina Lesso, Loveness Mamuya, Peter Ligate na Simon Makangula
Mwenyekiti wa CCM-Texas Bw.Simon Makangula akiwa na Katibu wake Bw.Abdallah Nyangassa
Bw.Arip akiwa na Bw.Ligate wakifurahia jambo
Bw. Tenende akichangia jambo
Wana CCM-Texas wakifuatilia kwa umakini mkubwa mambo yote yaliyokuwa yakiendelea
Mh.Mwigulu Nchemba Naibu katibu wa CCM akikata utepe kuashiria ufunguzi rasmi wa Tawi la CCM-Texas
Dada Loveness na Amina
Bw. Kitogo na Mh.Mwigulu Nchemba
Mh.Mwigulu Nchemba Naibu katibu wa CCM baada ya kumaliza kazi ya ufunguzi rasmi wa Tawi la CCM -Texas
PICHA ZOTE NA MPIGA PICHA WETU