Mrembo BETTY BONIFACE ameibuka mshindi usiku wa jana kama MISS UNIVERSE TANZANIA na kutwaa Taji kutoka kwa mshindi wa mwaka jana …
Mashindano hayo, ambayo yalifanyika katika ukumbi wa makumbusho ya Taifa – Posta, jijini Dar es salaam, mshiriki CLARA NOOR alichukua taji la MISS EARTH …
Usiku huo, ulitambwa na show kali kutoka kwa HABA NA HABA CREW ambao walipamba vizuri huo …
Goodluck kwa Miss Universe Tanzania -2013 … Miss Betty !
Tags
Fasion