Title: TBL YAMWAGA VIFAA VYA MIL.10 WIKI YA USALAMA BARABARANI
Author: NIJUZE
Rating 5 of 5
Des:
Kamanda wa Polisi wa Kikosi cha Usalama Barabarani, Kamishna Msaidizi Mwandamizi, Mohamed Mpinga (kushoto) akimshukuru Mkurugenzi wa Uhusia...
Kamanda wa Polisi wa Kikosi cha Usalama Barabarani, Kamishna Msaidizi Mwandamizi, Mohamed Mpinga (kushoto) akimshukuru Mkurugenzi wa Uhusiano wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Steve Kilindo baada ya kupatiwa na TBL msaada wa fulana na kofia vyenye thamani ya sh. mil. 10 kwa ajili ya maadhimisho ya Wiki ya Nenda kwa Usalama yatakayofanyika mkoani Kagera kuanzia Oktoba 3-8, mwaka huu. Hafla hiyo ilifanyika Dar es Salaam juzi.
Meneja Miradi Maalum wa TBL, Emma Oriyo 9kulia) akibadilishana mawazo na Ofisa Usalama barabarani, wakati wa hafla hiyo. ya kukabidhi msaada wa fulana na kofia za kampeni ya Wiki yaUsalama Barabarani, vyenye thamani ya sh. mil.10.
Post a Comment Blogger Facebook
Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii
Note: Only a member of this blog may post a comment.