WASANII WA BONGO WANAOFANANA NA MASTAA WA MAREKANI WACHEKI HAPA

Kuna usemi unasema duniani wawili wawili.....Hapa ni picha za wasanii wa bongo na wa USA inasemekana wasanii hawa  wanafanana...JE wewe unawaonaje waweza kutoa maoni yako pia baada ya kuziangalia picha hizi....MWANA FA NA FABULOUSGODZILLA NA 50 CENT50 CENT NA GODZILAT-PAIN NA QUICKQUICK RACKA NA T-PAINAMINI NA JOEAMINI NA JOE THOMAS

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post