AZAM KUWASILI ZANZIBAR LEO, SIMBA WAWASILI JANA–MAPINDUZI CUP

Mabingwa wa Mapinduzi Cup Azam Fc wanataraji kuelekea visiwani Zanzibar kwa ajili ya kutetea taji lao la kombe la mapinduzi walilolitwaa hapo mwaka jana.

Azam waliofunga mwaka kwa kutwaa ngao ya hisani jijini Kinshasa DRC walipo alikwa kushiriki mashindmano hayo, wanataraji kuelekea visiwani humo hapo leo na mchezo wao wa kwanza utachezwa kesho kutwa dhidi ya coastal union.

Wakati azam wakijipanga kuelekea visiwani, wenzao simba teyari wameshatua visiwani humo toka jana wakingoja mchezo wao wa ufunguzi dhidi ya jamhuri hapo kesho january 2.

MAKUNDI YA MAPINDUZI CUP

KUNDI A                                   KUNDI B
Simba SC                                 Azam Fc
Tusker                                      Mtibwa Suga
Bandari                                     Costal Union
Jamhuri                                    Miembeni

RATIBA YA MAPINDUZI CUP HATUA YA MAKUNDI

02\01\2013                                     03/01/2013
TUSKER VS BANDARI                  MTIBWA SUGAR VS MIEMBENI
SIMBA VS JAMHURI                       AZAM FC VS COASTAL UNION

04\01\2013                                     05/01/2013
JAMHURI VS BANDARI                  MTIBWA SUGAR VS COASTAL UNIONI
SIMBA VS TUSKER                       AZAM FC VS MIEMBENI

06\01\2013                                    07/01/2013
TUSKER VS JAMHURI                 MIEMBENI VS COASTAL UNIONI
BANDARI VS SIMBA SC               MTIBWA SUGAR VS AZAM FC

Michezo ya awali ni saa kumi alasiri na ya pili ni saa mbili usiku

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post