Duuuuu!!!! NOMA Hata hili mpaka atoe kauli MAGUFURI?


imageimageHii ni barabara pekee isiyozidi km 1 Yenye lami Wilayani Liwale Mkoani Lindi  ambayo haijafikisha miaka 2 toka iwekwe lami lakini hali ndiyo Hiyo na TANROADS LINDI Wanajua hali hiyo....
imageimage   Picha na Abdulaziz video,Liwale
Previous Post Next Post