Unknown Unknown Author
Title: KILA LA KHERI JOHN BOCCO S.A
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Mshambuliaji wa Taifa Stars John Bocco Adebayor yuko nchini Afrika Kusini kwa ajili ya kufanyiwa majaribio katika Klabu ya Supersport Unite...

Mshambuliaji wa Taifa Stars John Bocco Adebayor yuko nchini Afrika Kusini kwa ajili ya kufanyiwa majaribio katika Klabu ya Supersport United, endapo Boko atafaulu majaribio mazungumzo yatafanyika na Klabu yake ya Azam ili aanze kukipiga nchini humo kama mchezaji wa kulipwa.

Kila la heri Boko.

About Author

Advertisement

Post a Comment Blogger

Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii

Note: Only a member of this blog may post a comment.

 
Top