MKUU WA WILAYA AFARIKI HOTELINI


 HUYO NDIYE VICTOR PAUL CHIWILE ALIYE KUWA MKUU WA WILAYA YA LIWALE-LINDI KABLA YA MAUTI KUMKUTA. AMEFARIKI ASUBUHI KATIKA NYUMBA YA WAGENI..VISION HOTEL MJINI LINDI

2 Comments

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

  1. kila la kheri mungu akuwepa mahali pema..... tulikupenda yeye kakupenda zaidi.

    ReplyDelete
  2. Je alikuwa anaumwa au ni ghafla? mungu ametwaa jina lake lihimidiwe...

    ReplyDelete
Previous Post Next Post