Ashley Young Afanya Vipimo Na Man Utd

image

Hatimaye Winga Machachari wa Aston Villa Ashley Young Afanya uchunguzi wa Afya na Timu ya Manchester United ili kukamilisha Dili lake la kuhamia timu hiyo kwa msimu ujao kwa kusaini mkataba wa miaka 4.

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post