YANGA SC YAREJEA DAR ES SALAAM, KITUO KINACHOFUATA PAMBA JIJI

 

Baada ya ushindi mnono wa mabao 5-0 dhidi ya Mashujaa Fc, kikosi cha Yanga kimerejea salama jijini Dar es salaam

Wananchi sasa wanajipanga na mchezo unaofuata dhidi ya Pamba Jiji ambao utapigwa Ijumaa, Februari 28 katika uwanja wa CCM Kirumba




Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post