NIJUZE NIJUZE Author
Title: RC LINDI AFUNGUA JENGO LA OFISI YA UHAMIAJI LINDI
Author: NIJUZE
Rating 5 of 5 Des:
  Jengo jipya la Ofisi za Uhamiaji Mkoa wa Lindi limefunguliwa leo hii April 26, 2023 na Mkuu wa Mkoa wa Lindi Bi Zainab Telack Mkuu wa Mkoa...

 

Jengo jipya la Ofisi za Uhamiaji Mkoa wa Lindi limefunguliwa leo hii April 26, 2023 na Mkuu wa Mkoa wa Lindi Bi Zainab Telack

Mkuu wa Mkoa wa Lindi Bi Zainab Telack amezindua jengo la Ofisi za Uhamiaji Mkoa wa Lindi leo hii katika sherehe za maadhimisho ya kumbukumbu ya miaka 59 Muungano wa Tanzania.

Bi Zainab ameipongeza Wizara ya mambo ya ndani kwa kuweza kujenga jengo hilo ambalo litarahisisha huduma katika mkoa huu kwa wananchi.

Akizungumza katika maadhimisho hayo Bi Zainab amesema

“Imekuwa bahati kubwa leo hii kuzindua jengo hili kwani Linaenda kupendezesha mji wetu lakini pili linakwenda kufanya urahisi wa utendaji kazi wa jeshi letu la Uhamiaji”

 Jengo Hilo limegharimu kiasi cha Tsh 2,228,396,218.46

About Author

Advertisement

Post a Comment Blogger

Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii

Note: Only a member of this blog may post a comment.

 
Top