SIMBA WAPANGIWA NA VIGOGO HAWA LIGI YA MABINGWA AFRIKA

Droo ya kupanga Makundi ya Kombe la Mabingwa Afrika imefanyika leo Jijini Cairo nchini Misri na Wawakilishi wa Tanzania Simba SC wamepangwa Kundi C ikiwa na Raja Casablanca (Morocco), Horoya (Guinea) na Vipers (Uganda).

Fjxxg-Ez-Xo-AIan25

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post