Kikosi cha Young Africans kimeondoka mchana wa Leo Jijini Dar es salaam kuelekea Tunisia wakipitia Dubai tayari kwa mchezo wa Marudiano kombe la Shirikisho dhidi ya Club Africain ambao utapigwa Novemba 9.
Msafara huu utalala Dubai leo kabla ya kuunga safari kesho asubuhi kuelekea Tunisia
Tags
MICHEZO




