MWAMBUSI AANZA NA DOZI YA TATU BILA

Ikiwa sehemu ya maandalizi kuelekea mchezo wa ligi kuu Tanzania bara dhidi ya KMC ambao utapigwa Jumamosi, April 10, Yanga April 6 ilicheza mechi ya kirafiki dhidi ya African Lyon inayoshiriki ligi daraja la Kwanza.

Wananchi wameondoka na ushindi wa mabao 3-0 yakipachikwa kupitia Fiston Abdulrazak, Michael Sarpong na Paulo Godfrey 'Boxer'.

Ilikuwa ni mechi ya kirafiki ya ndani maalum kwa ajili ya kuziandaa timu zote kuelekea mechi za ligi kuu na ligi daraja la kwanza zitakazoanza kupigwa mwishoni mwa wiki.



 

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post