SIO KESI UKIUSIKILIZA WIMBO MPYA WA DIAMOND PLATNUMZ, UNAITWA BAILA!

Ilikuwa ni Usiku wa manane mkali wa Bongo Fleva Diamond Platnumz aki-stream live kupitia Mtandao wa Picha wa Instagram na Kupiga story na mashabiki wake.
Diamond Platnumz

Diamond akaona sio kesi aweze kuwaonjesha japo kwa kiasi kidogo tu ngoma yake mpya ambayo haijaachiwa Rasmi, wimbo huo unaitwa "BAILA".

Kama ilivyo ada hatutaki ukose hata kitu kimoja tuliweza kukinasa kipande cha wimbo huo. Chukua muda wako kuisikiliza kwa kuplay hii video hapa chini.


++++++++++++++++++++++++++++++++++++++

++++++++++++++++++++++++++++++++++++++
KUWA KARIBU NASI LINDIYETU.COM
Usipitwe!! Ungana na Familia hii kupitia FacebookTwitter na Instagram ili kupata Infortainment zote!! Usikose kujiunga na Youtube channel yetu ili kupata Exclusive mbalimbali kali kutoka LindiYetu TV

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post