Waziri wa Mambo ya ndani ya Nchi, Mwigulu Nchemba wiki hii alitembelea ofisi ya WCB iliyopo Sinza Mapambano jiji Dar es salaam na kujionea uwekezaji uliofanywa na label hiyo ambayo ipo chini ya Diamond Platnumz.
Waziri huyo kijana aliweza kuzungumza na viongozi wa label hiyo na kuangalia namna ambavyo serikali inaweza kudhibiti wizi wa kazi za wasanii.
Baada ya kumaliza mazungumza hayo, Waziri Nchemba kupitia Instagram yake aliandika:
Baada ya kumaliza mazungumza hayo, Waziri Nchemba kupitia Instagram yake aliandika:
#Wizi wa kazi za wasanii #Jeshi la polisi kuongeza nguvuPia alisema kuwa serikali haitasita kuwapa msaada pale watakapokwama na kuhitaji usaidizi wa serikali.
++++++++++++++++++++++++++++++++++++++
KUWA KARIBU NASI LINDIYETU.COM
Usipitwe!! Ungana na Familia hii kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata Infortainment zote!! Usikose kujiunga na Youtube channel yetu ili kupata Exclusive mbalimbali kali kutoka LindiYetu TV
Post a Comment Blogger Facebook
Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii
Note: Only a member of this blog may post a comment.