Majina ya washindi wa tuzo za Soundcity MVP 2016 yametangazwa kwenye ukumbi wa Eko Hotel jijini Lagos, Alhamisi hii. Jumla ya washindi 14 walitajwa kati ya washiriki 109 waliokuwa wakiwania tuzo hizo hapo mwanzo.

Tanzania ilikuwa ikiwakilishwa na wasanii wanne akiwemo Diamond, Vanessa Mdee, Alikiba na Navy Kenzo.

Tanzania ilikuwa ikiwakilishwa na wasanii wanne akiwemo Diamond, Vanessa Mdee, Alikiba na Navy Kenzo.
Kati ya hao wote ni Alikiba pekee aliyefanikiwa kuibuka mshindi na kupata tuzo hiyo ya VIDEO OF THE YEAR kupitia wimbo wake wa Aje.
Sauti Sol wamefanikiwa kushinda tuzo ya BEST GROUP huku Wizkid alifanikiwa kuibuka na tuzo kubwa ya AFRICAN ARTIST OF THE YEAR ambayo Diamond alikuwepo kwenye kipengele hicho.
Sauti Sol wamefanikiwa kushinda tuzo ya BEST GROUP huku Wizkid alifanikiwa kuibuka na tuzo kubwa ya AFRICAN ARTIST OF THE YEAR ambayo Diamond alikuwepo kwenye kipengele hicho.
++++++++++++++++++++++++++++++++++++++
++++++++++++++++++++++++++++++++++++++
KUWA KARIBU NASI LINDIYETU.COM
Usipitwe!! Ungana na Familia hii kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata Infortainment zote!! Usikose kujiunga na Youtube channel yetu ili kupata Exclusive mbalimbali kali kutoka LindiYetu TV
Tags
HABARI ZA WASANII