
Ikiwa ni Jumapili ya Disemba 18, 2016. Mdau wangu wa nguvu Swafaha Mahinya ameamua kuingia katika Ulimwengu wa wanandoa baada ya Kufunga ndoa na aliyekuwa Mchumba wake wa mda mrefu Ndg Abdallah Salum.

Lindiyetu.com inakutakia Maisha Marefu yenye Baraka Tele katika Uhai wa Ndoa yenu na Mungu awape subra Pale panapotokea Hitilafu ndani ya Nyumba yenu.

KILA LA KHERI SWAFAHA
Tags
WATU MAARUFU