Baada ya Kutesa na Kibao cha "Burger movie selfie" Mkali kutoka Mji Kasoro Bahari Morogoro Belle 9 ameachia Ngoma yake mpya inayokwenda kwa jina la "GIVE IT TO ME" ambamo humo Ndani ameshirikishwa mtu mzima G-NAKO.Video hiyo imetayarishwa nchini Afrika kusini na Muongozaji wa Video hiyo ni Nicroux wakati Mdundo umetayarishwa na LUFFA.
Enjoy
****************************