

Muimbaji huyo ambaye inasemekana ameweza kuachana na matumizi ya Madawa ya kulevya baada ya kushindwa kwa muda mrefu,wiki chache zilizopita aliweka kambi ndani ya studio ya Wanene kwa ajili ya maandalizi ya ujio wake mpya.
Wiki hii amepiga picha zake mpya zinazomuonyesha akiwa na muonekano wa kihindi. Angalia picha.




________________________________________________________________________________
- MFAHAMU ZARI THE BOSSLADY NI NANI KATIKA HII VIDEO HAPA CHINI
Tags
HABARI ZA WASANII