Wasafi Beach Party iliyofanyika Disemba 24, Jangwani Sea Breezy jijini Dar es Salaam, ilikuwa iwakutanishe mahasimu warembo Huddah Monroe na Vera Sidika jukwaani kama mahost.
![Huddah Monroe Huddah Monroe](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgGrBNGShEKU5GGMpx_v2ckf3-2ZRSw2GEYUmZSxBYzLcIdVSnrMgmrI-I-kWHrRAf2jM9fGwwRcUA_x8IQfO6jHbUcCZIL0VcuaRE9eLOQHVu0jxQjN5eH4_GXyGH3r0-wb3s-JU4A-tM/s640/15538663_1015572768554491_4829460900651991040_n.jpg)
Wengi tulikuwa tukisubiri kushuhudia drama ya kufungia mwaka kutoka kwa warembo hao wa Kenya, lakini bahati mbaya fahari mmoja hakutokea.
![Huddah Huddah](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhq0bf-y-3Yz3dzBKIs_LOZQGL-w4zoG0_UBJcXGlUhQa0CguWZVt3rbPCXKl0WyUSPbN-fhtKIo-kWHcy4yv2xm0dhuGlFdGYvJdQp6w7cLRg-k4FP9aUGL1vb5YEeba9SpoBMaUZVigo/s1600/SNAP.jpg)
Huddah Monroe ametumia Snapchat kuelezea sababu iliyomfanya ashindwe kuja kwenye party hiyo kuwa ni kushindwa kufikia makubaliano waliyokuwa wamejipangia na Diamond na hivyo ikamlazimu kukatisha kuja katika dakika za mwisho.
![Vera Vera](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjqkUEEWV5qGuwyzz5QgGsLONKq97ew4i7hCJw7bP0eOrGZShlSIyBfKlkAyt95YT6PjszgkQqqTTLCyISnmeoPeCXOLIJJIu4F78YEdGSW7DKeysSTUpI8vk8Fkk7hs7h-7tBj6r5ccGw/s640/VERA.jpg)
Hata hivyo Vera na mrembo mwingine wa Uganda, Anita Fabiola walikuwepo na kila kitu kilienda freshhh…
__________________________________________
Post a Comment Blogger Facebook
Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii
Note: Only a member of this blog may post a comment.