Unknown Unknown Author
Title: SIMULIZI MPYA KABISA “PLAY BOY” IKIWA NI SEHEMU YA KWANZA, FUATILIA HAPA
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Simulizi: PLAY BOY Sehemu: 1 Mtunzi: Andrew Carlos Simu: 0713133633 "Nimesema ctaki ctaki na kama hela yako sihitaji..." ".....

clip_image001Simulizi: PLAY BOY
Sehemu: 1
Mtunzi: Andrew Carlos
Simu: 0713133633

"Nimesema ctaki ctaki na kama hela yako sihitaji..."
"..aah Jacky kwani mi napenda hivyo..."
"mwanaume gani huna hata huruma enh..? Nimekupa bado hutosheki tu..."
Mimi ndiye Play Boy a.k.a Jef Ryder mtoto kama huyu kwangu ni kazi ndogo tu.
Nilijisemea kimoyo moyo huku nikimtolea macho Jacky ambaye kwa namna moja au nyingine nilikuwa tayari nimeshamlegeza pale kitandani lakini alikuwa ni mbishi sana katika mambo flani flani.
"Jacky..? Unajua ni jinsi gani nakupenda."
"skia Jef mi nimechoka we kila tukionana ni sex tu sex tu hakuna hata maongezi...?"
Alizidi kuninyong'onesha kwa maneno yake lakini niliendelea kujipa moyo nakuamini nitapata kila kitu kwani kwa Jacky huwa hana ujanja na mi hata siku moja.
"Jacky, nakupenda tena zaidi ya sana..."
"nimeshakwambia Jef leo sitaki kufanya chochote enh usikii"
Jacky alivuta taulo kwa nguvu huku akiongoza kuelekea bafuni kuoga,niliendelea kumtolea jicho huku akinitingishia kisha akaingia mpaka bafuni.
Sikuridhika kabisa mpaka nikaenda kwenye kitundu cha mlango kisha nikaendelea kuchungulia.
Kiukweli Jacky alikuwa ameumbika asikwambe mtu japo alikuwa anasex na mi mara kwa mara lakini kuhusu kuridhika kwake ilikuwa si jambo la kitoto kwani mtoto ushepu alikuwa nao kuanzia figa,makalio,guu guu.
Nilijikuta mwili wangu wote ukinisisimka mara akawa amemaliza kuoga,fasta fasta nikajitupia kitandani nakujifunika shuka upande kidogo huku nikimsubiria Jacky atoke kuoga, alitoka bafuni huku akiwa tepetepe akijifuta kuanzia nywele zake mpaka mapajani kisha,
"Jef.., Jef, enh umeshalala mara hii..."
"mh sijalala mpenz wangu,niambie...?"
"leo nakupa kwa mara ya mwisho mpaka mwezi ujao tena ctaki habari za kila cku sex sex sawa...?"
Sikuamini kama kweli yale maneno yanatokea kwa Jacky au..!
Niliinuka pale kwa nguvu zote huku mkojo ukinibana hivyo nikaelekea kwanza chooni kukojoa na nilipotoka tu nilishangaa jacky akiikodolea cmu yangu huku akivimba mdomo akionesha kukasirishwa na kitu,
"chukuwa cmu yako kuna meseji imeingia hapa"
Sikutaka kumsikiliza zaidi nikavuta simu yangu nakuisoma,
"NJOO GETTO KWAKO NA LEO NINA HAMU KWELI WE ACHA TU"
Mapigo ya moyo yalinienda mbio huku nikianza kutetemeka,
"nenda..! nenda c unasubiriwa uko nenda Jef.."
Nilishindwa kujielewa nifanyaje kwani kote kote nilikuwa nataka lakini kilichoniumiza ni kwa huyu Jacky anajua sana mapenzi kuliko hata Ney.
Nilikaa huku najiuliza mara mbili mbili nisipate jibu lolote kwani kote kote nilikuwa nakutaka nilichokifanya niliizima cmu yangu.
"jacky we ndo kila kitu kwangu.."
"na hiyo mesej kwenye cmu yako..?"
"hiyo ni wrong number tu sweety..!"
"we we we weee..! ishia hapo hapo tena uciendelee kuongea.."
"hivi jack mbona huniamini jaman..?"
Nilijitahidi kuukwepa ukwel ili ni sex naye lakin bado alikuwa mbish.
"Jef.., ukitaka nikuelewe nipe hiyo cmu.."
Nilijiumauma lakini nikajipa moyo mi mtoto wa kiume, alichukuwa cmu yangu then akaiwasha nakupiga ile namba ya Ney kisha baada ya muda.
"na unabahati hapatikani ningekuumbua sasa hivi"
Ilinibidi nishushe pumzi huku nikiwa na uhakika rasmi wakulala na mtoto.
"umeamini sasa kuwa hyo ni wrong number..?"
"we unajua kila kitu unajifanya kukwepa kwepa cyo ipo cku nitajua tu"
Nilichekelea kimoyo moyo huku nikielekea kuzima taa kisha kilichofuata nikurukia kitandan tayar kwa kumkabili mtoto Jacky, nilimpapasa kuanzia kichwani mpaka miguuni huku nikiyumbisha ulimi wangu ndan ya mdomo wake,alikuwa ni wamoto sana na kitu alichoniaminia ni kwamba nilikuwa nafahamu nyege zake ziko wapi hvyo taratibu nikachukuwa mikono yangu nakumparua mgongon kwa kutumia kucha zangu na mdomo nikauamishia maskioni mwake,
"Jef jef.., uh uh uhf uuhf uuhf...!"
"jacky una..., uhf uuh shit.."
Alivuta mkono wake taratibu mpaka kwenye boxer yangu nakuchomoa nanii yangu kisha kilichofuata nikuinyonya mpaka nikaishiwa nguv.
Nikiwa nimenogewa kwenye dimbwi la mapenz mara nikahisi kama mtu anaingia ndani tena kwa kunyata nyata taaratibu,
"nan wewe..? nan?"
Yule mtu aliwasha taa,
"jef..? jef..? yani huyu ndo anakufanya unizimie hadi cmu...?"
Nilijikuta naaibika bila hata kufanya sex kwan kiukweli alikuwa ni Ney yule aliyekuwa akinisumbua kwenye cmu na safar hii cjui nan alimwambia nipo hapa geto kwa mshkaji.
"..we unayedandia waume wa watu embu nipishe mwache mchumba wangu pliz.."
Ilikuwa ni saut ya Ney akimkaripia Jacky huku tukiwa bado tupo uchi wa mnyama pale kitandani.
Hasira kali zilimpanda Jacky nakujikuta akivuta nguo zake nakuzivaa kwa hasira huku akiondoka kwa kutingisha makalio yake na alipokaribia mlangoni kabla hajatoka nje.
"Jef.., utanikumbuka"
Aliongea jacky kwa hasira uku akibamiza mlango kwa nguvu nakuniacha mi na Ney..
"nani akukumbuke wewe...!"
Nilijisemea kimoyomoyo huku akili yote nikiiamishia kwa mchumba wangu Ney.
"usiniguse niache uko...!"
Ney alikuwa kabadilika kama mbogo kwani bado alikuwa na uchungu juu ya ya kunifumania na Jacky.
Nilitumia muda mfupi tu kumbembeleza mpaka akakubali c unajua tena mademu walivyo wepesi kusahau,haikupita muda mwenyewe akaanza kuongea taaratibu,
"Jef.., nakupenda usije ukanitenda tena pliz..!"
"usijali mpenzi wangu ni shetani tu alinipitia..."
Mzuka wa ajabu ukanijia huku nikimkumbatia kwa nguvu zote nakumpa madenda uso mzima, niliitelezesha mikono yangu mpaka kwenye chuchu zake huku nikitaka kusogea yale maeneo yetu ya kujidai mara..
"no..! no..! no..! Jef pliz...!"
"...nini tena mpenzi.."
"una condom..?"
"hapana lakini..."
"Lakini nini...? Nimemaliza kubleed juzi tu, co pliz nenda kanunue condom..."
Niliamua kumkubalia fasta fasta huku nikivaa pensi yangu nakumwacha Ney kalegea mwili wote nikatoka nje kwenda kununua condom na nilipofungua mlango tu.
"njoo hapa shhh...!"
"Jacky hujaondoka tu...?"
Kumbe alikuwa ni jacky na alikuwa akituchungulia muda wote huo kwa kupitia tundu la mlangoni.
Aliubamiza mlango kwa nguvu kisha akavua nguo zake zote,
"...ulivyonichezea vyote vile ulitaka nani nimpe..? Ng'ombe umle wewe ushindwe kumaliza kula na mkia..?"
Aliendelea kuongea Jacky huku akinivua pensi yangu na kilichofuatia nikusex naye pale pale kwenye korido chini huku Ney nikimwacha ndani akinisubiri.
Nilisex bila ya kutumia condom huku nikifurahia raha ya mapenzi,kiukweli jacky anakatika tena dah mpaka tukajikuta tunatoa sauti ya juu ile ya mahaba.
"jacky..! jacky..! inatosha pliz...!"
"nini...? Hata hujanifikisha kileleni eti inatosha, embu endelea huko..."
Jacky hakutaka kunielewa kabisa mpaka nikampa alivyokuwa anataka akaridhika,
"..haya sasa mfuate huyo mkeo ndani ukammalizie..."
Aliongea jacky kwa nyodo huku akivaa nguo yake na kutoka nje,niliongozana naye nikaishia dukani huku nikimwacha jacky akiendelea na safari yake,fasta fasta nikarudi ndani,
"...mbona umechelewa hivyo Jef...?"
"si unajua leo jumapili maduka mengi yamefungwa mapema na nimezipatia mbali sana..."
"nikwambie kitu Jef...?"
"..enh..! niambie tu..."
"nimeghairi sitaki tena utumie condom kama kunipa mimba we nipe nitailea tu.."
"Ney..? Ahh..! ahh..! ahh..!"
"mi ndo nimesema hivyo jef embu tupa vikondomu vyako kuleee..."
Ney alikuwa yuko seriaz kweli kwani nilimzoesha vibaya kila ninapokutanaga naye huwa ni kavu kavu kwenda mbele.
Kwa moyo wa ujasiri nikamvaa ili nisex naye ile nataka tu kumvua mara mlango ukafunguliwa kwa nguvu,
"chukua chupi yako umenibadilishia lete yangu..!"
Alikuwa ni Jacky karudi ndani kwa hasira zote huku akishikilia chupi yangu mkonöni,
"inamaana Jef umesha sex na huyu kabla yangu...?"
Ney alinigeukia kwa mshangao huku akiwa hajiamini amini kama nimeshamzunguka ndani ya muda mfupi...

******ITAENDELEA USIKOSE SEHEMU YA PILI**********

About Author

Advertisement

Post a Comment Blogger

Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii

Note: Only a member of this blog may post a comment.

 
Top