Unknown Unknown Author
Title: ‘KIDOGO’ YA DIAMOND PLATNUMZ YANYAKUWA TUZO YA WIMBO BORA WA MWAKA 2016 AUSTRALIA
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Diamond Platnumz amekuwa na mwaka mzuri sana kwani karibia nyimbo zake zote alizotoa kwa mwaka huu zimeweza kupokelewa vizuri sana mbali...
Diamond Platnumz amekuwa na mwaka mzuri sana kwani karibia nyimbo zake zote alizotoa kwa mwaka huu zimeweza kupokelewa vizuri sana mbali tu ya kupokelewa vizuri lakini pia amekwara tuzo kibao kupitia kazi zake.
Diamond Platnumz - KidogoMwezi uliopita kituo maarufu cha Radio nchini Australia cha RADIO AFRO AUSTRALIA kiliandaa tuzo za kutafuta nyimbo zilizofanya vizuri kwenye mabara tofauti tofauti na kwenye kipengele cha wasanii waliongiza nyimbo kutoka Bara la Afrika ni Diamond Platnumz kupitia wimbo wake wa Kidogo aliowashirikisha P Square kutoka Nigeria.

Sasa Good News ni kwamba wimbo huo umefanikiwa kuchukua Tuzo ya wimbo bora kwa mwaka 2016 huko Australia. 


Kupitia mtandao wa Twitter kituo hicho cha Radio kimeandika "#1 radioAFRO Australia Song of the Year 2016 with @djiz @diamondplatnumz @rudeboypsquare @PeterPsquare #kidogo"

++++++++++++++++++++++++++++++++++++++
++++++++++++++++++++++++++++++++++++++
KUWA KARIBU NASI LINDIYETU.COM
Usipitwe!! Ungana na Familia hii kupitia FacebookTwitter na Instagram ili kupata Infortainment zote!! Usikose kujiunga na Youtube channel yetu ili kupata Exclusive mbalimbali kali kutoka LindiYetu TV

About Author

Advertisement

Post a Comment Blogger

Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii

Note: Only a member of this blog may post a comment.

 
Top