VANESSA MDEE NA JUX WAWAACHA MASHABIKI WAO NJIAPANDA

Vanessa Mdee na Jux wameendelea kuwa gumzo kwa takriban wiki moja sasa. Na yote yalitokana na kutano la Vanessa Mdee na mshindi wa Grammy, Mmarekani Trey Songz hukoo Nairobi kwenye Coke Studio Africa.
Vee na Jux
Pozi zao zilitengeneza headlines Afrika nzima huku watu wakihofia kuwa Jux kanyang’anywa mke! Vee amekanusha vikali tetesi hizo.
Juu
Lakini sasa kupitia akaunti zao za Instagram, wawili hao wanashare picha yenye neno #Juu na kuashiria kuwa huenda ukawa wimbo wao wa kwanza rasmi watakaoutoa wakiwa pamoja. Tangu waanzishe uhusiano, Vee na Jux hawajawahi kuachia wimbo wakiwa pamoja wakiimba.

*********************

VANESSA MDEE NA TREYSONGZ KUJA NA COLLABO YA PAMOJA, VANESSA KANENA HAYA

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post