
Adhabu zilizotolewa:
Tundu Lissu na Ester Bulaya hawatashiriki vikao vyote vilivyosalia vya mkutano wa tatu, pamoja na vikao vyote vya mkutano wa nne. Pauline Gekuli, Godbless Lema, Zitto Kabwe na Halima Mdee hawatahudhuria vikao vyote vya mkutano wa tatu.
John Heche ambaye adhabu yake ni kutoshiriki kwenye vikao 10 mkutano wa tatu.
Tundu Lissu na Ester Bulaya hawatashiriki vikao vyote vilivyosalia vya mkutano wa tatu, pamoja na vikao vyote vya mkutano wa nne. Pauline Gekuli, Godbless Lema, Zitto Kabwe na Halima Mdee hawatahudhuria vikao vyote vya mkutano wa tatu.
John Heche ambaye adhabu yake ni kutoshiriki kwenye vikao 10 mkutano wa tatu.
Tags
HABARI ZA KITAIFA