
Akiongea na Lindiyetu.com Bw, Kaswa amesema kulikuwa na changamoto hiyo kwa kipindi cha nyuma, lakini kwa sasa kifaa hicho kimerekebishwa na sasa huduma hiyo inaendelea kutolewa na inapatikana kwa ufasaha. Pia amesema kuwa Hospitali hiyo inajiandaa kununua Portable X-Ray mnamo mwezi wa Nane mwaka huu, ambayo itakuwa ikitumika kwa dharula.
MSIKILIZE HAPA AKIONGELEA TATIZO HILO.
Tags
HABARI ZA KITAIFA