MAALIMU SEIF SHARIF HAMAD AYASEMA HAYA MARA BAADA YA KUKUTANA NA RAIS DKT. MAGUFULI

John Pombe Magufuli na Maalim Seif
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na Katibu Mkuu wa Chama Cha Wananchi CUF ambaye pia ni Makamu wa kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Shariff Hamad jijini Dar es Salaam. Maalim Seif amemshukuru Rais Dkt. Magufuli kwa kumjulia hali na kusema kuwa hali yake ya kiafya inaimarika siku baada ya siku.
John Pombe Magufuli na Maalim Seif
Maalim Seif amewahakikishia Watanzania kuwa afya yake inaendelea vizuri na kwamba anaendelea na shughuli zake na siku chache zijazo ana matumaini ya kurejea katika hali yake ya kawaida.

(Picha na Salmin Said, OMKR)
Barua

***********************
JE ULIMIS KUTAZAMA VIDEO:: 

Yamoto Band Live Show in Lindi || LINDIYETU TV

Previous Post Next Post