DIAMOND PLATNUMZ AAMUA KUMUUNGA MKONO PAUL MAKONDA KATIKA JAMBO HILI

Diamond Platinum
Katika kuonekana kukubali kampeni ya mkuu wa mkoa wa Dar es salaam mheshimiwa Paul Makonda, ya kuliweka jiji safi la mkoa wa Dar es salaam ambapo kampeni hiyo imepewa jina la #DSMPaulMakonda chini ya post hiyo inasomeka Mifereji michafu sio salama ONA AIBU! msanii wa bongo flava Diamond Platinum ame ungana nae kwa kupost picha katika ukurasa wake wa instagram

Diamond ameandika haya katika post yake
"Ubaya wa mji unaanzga na uchafu!!!… na uchafu hauletwagi eti na serikali unaanzaga kwa sisi wananchi!!!… ikiwa kweli unapenda nasisi tuwe na jiji zuri basi kila mtu ndio mlinzi wa kwanza kulinda maeneo yake na popote anapo miliki pasiwe pachafu…. asikudanganye mtu usafi hautokani na utajiri wala kuwa na pesa ni tabia ya we mweyewe kujithibiti na kutosambaza na kutupa uchafu hovyo! sisi ndio wa kubadili mji ONA AIBU!!! amemalizia hivyo
Previous Post Next Post