Unknown Unknown Author
Title: MAROMBOSO WA YAMOTO BAND AOGA NDOO ZA TOPE, CHEKI TUKIOZIMA HAPA
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Ukisherehekea siku yako ya kuzaliwa siku hizi inabidi ujiandae kuoga bila kupenda. Bahati mbaya hutaishia kuoga maji tu, bali utaogeshwa...
Ukisherehekea siku yako ya kuzaliwa siku hizi inabidi ujiandae kuoga bila kupenda.
Bahati mbaya hutaishia kuoga maji tu, bali utaogeshwa na kila aina ya kimininika hususan pombe – wanaziita ndoo!

Lakini muimbaji wa kundi la Yamoto Band, Maromboso ambaye jana alisherehekea siku yake ya kuzaliwa alimwagiwa ndoo ya tope!
“aaaaah!!!!..imenifanya kama”John Rambo” ..ikipita yangu ya anayefata atajua popo Ni mnyama au ndege,” ameandika muimbaji huyo wakati washkaji zake walipokuwa wakimminia matope.

Katika picha nyingine Maromboso ameandika: "Asanteni sanaaaaa….ila tutaonana tu …Happy birthday to Me.”

Maromboso ameahidi kulipiza kisasi!

About Author

Advertisement

 
Top