Unknown Unknown Author
Title: DR. SHEIN AENDELEA NA KAMPENI ZAKE NA KUSEMA ATAENDELEZA KUUNDA SERIKALI YA UMOJA WA KITAIFA ILI KULETA MAENDELEO ZAIDI KWA WAZANZIBARI
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Mgombea Urais wa Zanzibar Kupitia Chama cha Mapinduzi pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein,...
Kampeni CCM, Zanzibar
Mgombea Urais wa Zanzibar Kupitia Chama cha Mapinduzi pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, akisalimiana na Viongozi wa CCM Zanzibar alipowasili katika viwanja vya Mpira Konde Kisiwani Pemba kuendelea na Kampeni Kisiwani Pemba.
Kampeni CCM, Zanzibar
Mgombea Urais wa Zanzibar Dk Ali Mohamed Shein, akiwasalimia Wananchi waliofika katika uwanja wa kunde kuhudhuria mkutano wa Kampeni ya Mgombea Urais wa Zanzibar Dk Shein.wakati akiwasili katika viwanja hivyo vya mpira Konde Wilaya ya Micheweni Pemba.
Kampeni CCM, Zanzibar
Wanachama wa CCM Wakimshangilia Mgombea wao wa Urais Dk Shein, wakati akiwasili katika viwanja vya mpira Konde kwa ajili ya mkutano wake wa Tatu wa Kampeni zake kisiwani Pemba.
Kampeni CCM, Zanzibar
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Mkoa wa Kaskazini Pemba Ndg Hamad Mberwa Hamad akiwahutubia na kutuoa Sere za CCM zilivotelekezwa na kuiletea Maendeleo Zanzibar katika kipindi chake Dk Shein cha miaka mitano na kuwataka kumpa kura kwa mara ya pili kuendeleza mafanikio ya Maendeleo Zanzibar katika sekta mbalimbali za Jamii
Kampeni CCM, Zanzibar
Katibu wa Idara ya Uenezi Afisi Kuu Zanzibar Ndg Waride Bakari Jabu akiwahutubia Wananchi wa Konde katika mkutano wa Kampeni ya Mgombea Urais wa Zanzibar Dk Shein uliofanyika katika uwanja wa mpira Konde Kisiwani Pemba.
Kampeni CCM, Zanzibar
Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Ndg Khadija Aboud akiwahutubia Wananchi na Wana CCM kisiwani Pemba wakati wa Mkutano wa Kampeni ya Mgombea wa Urais wa Zanzibar kupitia CCM Dk Shein, katika viwanja vya mpira Konde Kisiwani Pemba.
Kampeni CCM, Zanzibar
Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia Chama cha Mapinduzi Dk Shein akiwahutubia Wananchi katika viwanja vya mpira Konde Kisiwani Pemba akiwa katika kampeni yake na kuwataka Zanzibar kukipigia kura Chama cha Mapinduzi kwa maendeleo na kudumisha Amani na Utulivu kwa Wananchi wake kwa maendeleo. 
Kampeni CCM, Zanzibar
Viongozi wa Jukwaa kuu wakimsikiliza Mgombea Urais wa Zanzibar Dk Shein, wakati akiwahutubia Wananchi wa Konde Pemba Wilaya ya Micheweni akiwa katika mikutano yake ya kampeni kisiwani Pemba.
Kampeni CCM, Zanzibar
Wazee wa CCM Wilaya ya Micheweni wakiwa katika viwanja vya mkutano wa kampeni ya Urais wa Zanzibar wakimsikiliza Dk Shein wakati akiwahutubia na kutowa Sera za CCM kwa wananchiwakati wa mkutano huo uliofanyika katika viwanja vya mpira Konde Wilaya ya Micheweni Pemba.
Kampeni CCM, Zanzibar
Wanachama wa CCM wakiwa katika viwanja vya mpira Konde wakimsikiliza Mgombea Wao akiwahutubia katika mkutano wa Kampeni ya CCM Pemba.
Kampeni CCM, Zanzibar
Viongozi wa Jukwaa Kuu wakisimama wakati Dk Shein, akienda kuwahutubia Wananchi wakati wa Mkutano wake wa Tatu wa Kampeni Kisiwani Pemba uliofanyika katika viwanja vya mpira Konde Wilaya ya Micheweni Pemba.
Kampeni CCM, Zanzibar
Mgombea Urais wa Zanzibar Dk Shein, akiwahutubia Wananchi katika viwanja vya mpira konde kisiwani Pemba akiwa katika kampeni za kuomba kura kwa Wananchi kuendelea kuongoza Zanzibar kwa kipindi cha Pili ilin kuendelea maendeleo kwa Wananchi wa Zanzibar na kudumisha Amani na Utulivu kwa wananchi wake,
Kampeni CCM, Zanzibar
Mgombea Urais wa Zanzibar Dk Shein, akimtambulisha Mgombea Uwakilishi wa Jimbo la Tumbe Ndg Ali Khamis Bakar, wakati wa mkutano huo wa Kampeni ya Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia Chama cha Mapinduzi Dk Shein, katika viwanja vya mpira Konde Pemba.
Kampeni CCM, Zanzibar
Wananchi wakishangilia wakati wa kuwatambulisha wagombea Ubunge na Uwakilishi na Udiwani wa Wilaya ya Micheweni Pemba.
Kampeni CCM, Zanzibar
Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia CCM Dk. Shein akiwatambulisha Wagombea Udiwani kupitia Chama cha Mapinduzi katika Wilaya ya Micheweni Pemba wakati wa mkutano wa kampeni ya Mgombea Urais wa Zanzibar katika viwanja vya mpira Konde Pemba. 
Kampeni CCM, Zanzibar
Mgombea Urais wa Zanzibar Dk Shein, akiondoka viwanja vya Konde Pemba baada ya kumaliza mkutano wake wa tatu wa kampeni uliofanyika katika viwanja vya mpira Konde Pemba, akiongozania na Viongozi wa CCM.

Imetayarishwa na OthmanMapara.Blogspot. Zanzinews.com 

About Author

Advertisement

 
Top