Wachezaji wa Simba wakitoka vyumbani kuingia Uwanjani
Kocha Mkuu wa Simba Kerry akiwa na kocha Msaidizi Seleman Matola
Hamis Kiiza'Diego' akitafuta mbinu za kumtoka beki wa Villa
Mussa Hasan Mgosi akiwa katika harakati za kugmbania mpira na beki wa Villla
Mashabiki wa Simba wakifuatilia mechi
Kikosi cha SC Villa ya Uganda
Simba licha ya kucheza kandanda la kuvutia ilibidi wasubiri hadi dakika ya 89, ambapo Awadhi Juma ndiye aliyenogesha sherehe za Simba baada ya kufunga bao hilo kufuatia shuti kali alilopangua kipa wa Villa na mpira kumkuta Awadhi.
Awali ulifanyika mchezo wa Viongozi wa Simba na timu ya wasanii ambapo timu ya viongozi walipata bao 1-0 bao lililofungwa na kocha Mkuu wa Simba Kerr.
Tags
SPORTS NEWS