HUU NDIO UKWELI WA UZUSHI WA KIFO CHA BANZA STONE, KAKA YAKE AZUNGUMZIA AFYA YAKE ILIVYOHIVI SASA

banza stone
BANZA STONE AKIWA KATIKA MAJUKUMU YAKE YA KIMUZIKI KABLA YA KUUGUA

Leo hii kumekuwa na Taarifa zisizo rasmi zilizotapakaa katika Mitandao mingi ya Kijamii zikihusicha kifo cha Mwanamuziki wa Tanzania ajulikanaye kwa Jina la Banza Stone, Lindiyetu.com ilifanya jitihada ya kutafuta Ukweli wa jambo hili na ndipo ulipokutana na Mahojiano haya ya Kaka wa Banza Stone "Shabani Alli Masanja" ambaye ameuthibitishia Mtandandao Huu kuwa Msanii huyo yu Mgonjwa lakini Hajafikwa na Mauzi na Hali yake inaendelea vizuri tu.
banza stone
BANZA STONE AKIWA NYUMBANI KWAO SINZA

Hivyo Taarifa hizo si za kweli ni Uzushi Mtupu. MSIKILIZE HAPA AKIONGEA
Previous Post Next Post