Unknown Unknown Author
Title: "NIKOTAYARI KUISHI NA MBASHA LAKINI HADI ANIANGUKIE MIGUUNI"- FLORA MBASHA ANENA
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Muimbaji wa muziki wa injili, florah mbasha amesema yupo tayari kurudiana na mume wake Emmanuel Mbasha , ikiwa atakwenda kumuangukia mgu...
MBASHA
Muimbaji wa muziki wa injili, florah mbasha amesema yupo tayari kurudiana na mume wake Emmanuel Mbasha, ikiwa atakwenda kumuangukia mguuni na kumuomba msamaha.

Florah alisema hayo alipozungumza na waandishi wa habari baada ya kumaliza kutoa ushahidi mahakamani juu ya kesi ya ubakaji inayomkabili mume wake ambayo inasikilizwa katika mahakama ya wilaya ya ilala.

"Mbasha nimeshamsamehe siku nyingi na nipo tayari kuishi naye iwapo atakuja kuniangukia miguuni na kuniomba msamaha..lakini hili la ubakaji ni suala la mahakama" Alisema.

About Author

Advertisement

Post a Comment Blogger

Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii

Note: Only a member of this blog may post a comment.

 
Top