
Sitaki Niongeze neno wala Kupunguza Hebu Jisomee mwenyewe hapa Halafu Niambie Unahisi anaweza Kukubaliwa? Kwani kwa Sasa MADAM inasemekana anatoka na Msanii Mkali wa Bongo fleva Kutoka kule kule Mwisho wa Reli KIGOMA.

WEMA NA BIKIRA WA KISUKUMA
BIKIRA WA KISUMKUMA AMEANDIKA HIVI "Unajua nakupenda na hawa wengine wanashindwa kukuelewa na kukupatia, Nipe nafasi mimi nikuonyeshe nini maana ya HUBA LA KISUKUMA nakuomba, sitakugeuza Project wala Programme, ntakupa zawadi ya boti kwenye Birthday yako mwaka huu, Nataka niingie In Your Shoes nishibe harufu ya viatu vyako na kuenjoy ladha ya unyayo wako"
Tags
WATU MAARUFU