Mapaparazi wamkuwa wakiwafuatilia mastaa wa kike wenye makalio makubwa ili kujua kana no feki au yakuzaliwa nayo.Watu maarufu Kim Kardashian, Nicki Minaj, Amber Rosa na Blac Chyna.
Hivi karibuni picha zimesambaa za mama mtoto wa rapa Tyga kuwa umbo lake kwa nyuma [Makalio] ni feki, Blac Chyna ambaye zamani alikuwa stripper alisadikiwa kuwa alifanya upasuaji ili kuongeza makalio.
Blac Chyna alikanusha tuhuma hizi nakusema makalio yake ni zawadi kutoka kwa Mungu.
KULICHEKI LAIVU LIKIWA NDANI YA BIKINI
Post a Comment Blogger Facebook
Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii
Note: Only a member of this blog may post a comment.